Galatia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la Galatia katika rasi ya Anatolia wakati wa Dola la Roma.

Galatia ni jina la mkoa wa zamani katikati ya nchi inayoitwa leo Uturuki.

Galatia ilipata jina hilo baada ya kuvamiwa na kukaliwa na kabila la Wagali kutoka Ufaransa kupitia Bulgaria ya leo katika karne ya 3 KK.

Mji mkuu wake ulikuwa Ancyra (leo Ankara, mji mkuu wa Uturuki).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Encyclopedia, MS Encarta 2001, under article "Galatia".
  • Barraclough, Geoffrey, ed. HarperCollins Atlas of World History. 2nd ed. Oxford: HarperCollins, 1989. 76–77.
  • John King, Celt Kingdoms, pg. 74–75.
  • The Catholic Encyclopedia, VI: Epistle to the Galatians.
  • Stephen Mitchell, 1993. Anatolia: Land, Men, and Gods in Asia Minor vol. 1: "The Celts and the Impact of Roman Rule." (Oxford: Clarendon Press) 1993. ISBN 0-19-814080-0. Concentrates on Galatia; volume 2 covers "The Rise of the Church". (Bryn Mawr Classical Review)
  • David Rankin, (1987) 1996. Celts and the Classical World (London: Routledge): Chapter 9 "The Galatians".
  • Coşkun, A., "Das Ende der "romfreundlichen Herrschaft" in Galatien und das Beispiel einer "sanften Provinzialisierung" in Zentralanatolien," in Coşkun, A. (hg), Freundschaft und Gefolgschaft in den auswärtigen Beziehungen der Römer (2. Jahrhundert v. Chr. - 1. Jahrhundert n. Chr.), (Frankfurt M. u. a., 2008) (Inklusion, Exklusion, 9), 133–164.
  • Justin K. Hardin: Galatians and the Imperial Cult. A Critical Analysis of the First-Century Social Context of Paul's Letter. Mohr Siebeck, Tübingen, Germany 2008, ISBN 978-3-16-149563-2.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.