Karne ya 3 KK
Kutoka Wikipedia
Karne ya 3 KK (=kabla ya Kristo) ni kipindi kuanzia mwaka 300 KK hadi mwisho wa 201 KK.
[hariri] Wakati wa karne ya 3 KK
Karne hii ni kipindi cha
- uenezaji wa mamlaka ya Roma katika Mediteranea ya magharibi
- kuimarika kwa athira ya utamaduni wa Kigiriki kati ya Mediteranea na Uhindi
- kilele cha nguvu ya Ubudda nchini Uhindi
- mwanzo wa ukuta mkubwa wa China
[hariri] Matukio
- Mnara wa moto Pharos wajengwa mjini Aleksandria (Misri)
- 275 KK - Mwisho wa historia ya Babeli - wakazi wake wote wahamishwa nje
[hariri] Watu
- Eratosthenes akadiria kipenyo cha dunia kwa vipimo vya kisayansi nchini Misri

