Karne ya 1 KK
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Milenia ya 2 KK | Milenia ya 1 KK | Milenia ya 1 | ►
◄ | Karne ya 3 KK | Karne ya 2 KK | Karne ya 1 KK | Karne ya 1 | Karne ya 2 | ►
Miaka ya 90 KK | Miaka ya 80 KK | Miaka ya 70 KK | Miaka ya 60 KK | Miaka ya 50 KK | Miaka ya 40 KK | Miaka ya 30 KK | Miaka ya 20 KK | Miaka ya 10 KK | Miaka ya 0 KK
Karne ya 1 KK huhesabiwa kuanzia tarehe 1 Januari 100 KK na kuishia tarehe 31 Desemba 1 KK.
Matukio ya karne ya 1 KK [hariri]
Karne hii iliona matukio yaliyoendelea kuwa muhimu katika kipindi kilichofuata.
- Dola la Roma lilipata kipaumbele katika Ulaya na eneo la Mediteranea kwa karne zilizofuata, likifuata mtindo wa utawala wa kaisari badala ya jamhuri
- Misri ilikwisha kama nchi ya kujitawala ikaendelea kuwa jimbo la madola makubwa yaliyofuatana kwa karne 19.
- Mamlaka ya Nasaba ya Han katika China yanaanza kuporomoka
- Yesu alizaliwa takriban 7-5 KK huko Bethlehemu (Palestina)
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Karne ya 1 KK kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |