44 KK
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 2 KK | Karne ya 1 KK | Karne ya 1 | ►
◄ | Miaka ya 60 KK | Miaka ya 50 KK | Miaka ya 40 KK | Miaka ya 30 KK | Miaka ya 20 KK | ►
◄◄ | ◄ | 47 KK | 46 KK | 45 KK | 44 KK | 43 KK | 42 KK | 41 KK | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 44 KK (kabla ya Kristo).
Matukio [hariri]
- Julius Caesar apewa madaraka ya dikteta wa Roma kwa muda wa maisha yake
- Korintho - mji waundwa upya kama koloni ya Kiroma kwa amri ya Caesar
Waliozaliwa [hariri]
Waliofariki [hariri]
- 15 Machi - Julius Caesar auawa kwenye bunge la Senati mjini Roma