Karne ya 1

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Periplus ya Bahari ya Eritrea

Karne ya 1 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1 na 100. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 1 B.K. na kuishia 31 Desemba 100. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".

Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya binadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.

Karne ya Ukristo kuanza[hariri | hariri chanzo]

Watu muhimu[hariri | hariri chanzo]

Karne: Karne ya 1
Miongo na miaka
Muongo wa kwanza | 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Miaka ya 10 | 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19
Miaka ya 20 | 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29
Miaka ya 30 | 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39
Miaka ya 40 | 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49
Miaka ya 50 | 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59
Miaka ya 60 | 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69
Miaka ya 70 | 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79
Miaka ya 80 | 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89
Miaka ya 90 | 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99