212 KK
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yaliyomo |
[hariri] Matukio
[hariri] Roma ya Kale
- Jeshi la Roma lateka mji wa Siracusa kisiwani Sisilia.
- Hannibali ashinda jeshi la Kirima huko Capua (Italia). *
[hariri] China
- Kaisari Qin Shihuangdi amaliza ukuta mkubwa wa China
[hariri] Waliozaliwa
[hariri] Waliofariki
- Mwanahisabati na mvumbuzi Mgiriki Archimedes (* 287 KK) auawa wakati wa kutekwa kwa Siracusa.