Nguzo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nguzo za Bunge la Ufini huko Helsinki.

Nguzo (kwa Kiingereza: column au pillar) ni sehemu ya jengo inayobeba uzito wa juu.

Katika Ukristo, Mtume Paulo alifananisha Kanisa na nguzo ya ukweli (1Tim 3:15).

Katika Uislamu, mambo matano yanahesabiwa kuwa nguzo zake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chisholm, Hugh, ed. (1911). "Engaged Column". Encyclopædia Britannica. 9 (11th ed.). Cambridge University Press. pp. 404–405
  • Stierlin, Henri The Roman Empire: From the Etruscans to the Decline of the Roman Empire, TASCHEN, 2002
  • Alderman, Liz (7 July 2014). "Acropolis Maidens Glow Anew". The New York Times. Retrieved 9 July 2014
  • Stokstad, Marilyn; Cothren, Michael (2014). Art History (Volume 1 ed.). New Jersey: Pearson Education, Inc. p. 110.4
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.