Mmisionari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wamisionari)
Mmisionari (au Mwanamisheni) ni mtu wa dini fulani ambaye anafanya kazi ya kuieneza kwa wasio waumini wa dini hiyo. Kwa kawaida mhusika ni Mkristo, lakini si lazima.
Jina linatokana na neno la Kilatini missio lenye maana ya utume (kutuma au kutumwa).[1]
Mara nyingi, kazi hiyo inakwenda sambamba na utoaji wa huduma za kijamii, hasa elimu, afya, utetezi wa haki, maendeleo katika uchumi n.k.[2][3]
Tanbihi [hariri]
- ↑ Online Etymology Dictionary. Etymonline.com. Retrieved on 2011-01-19.
- ↑ Missionary | Define Missionary at Dictionary.com. Dictionary.reference.com. Retrieved on 2011-01-19.
- ↑ Thomas Hale 'On Being a Missionary' 2003, William Carey Library Pub, ISBN 0878082557
Marejeo [hariri]
- Project on Religion and Economic Change, Protestant Mission Stations
- LFM. Social sciences & Missions
- Henry Martyn Centre for the study of mission & world Christianity
- Sociology of Missions Project
- William Carey Library, Mission Resources
- Hiney, Thomas: On the Missionary Trail, New York: Atlantic Monthly Press (2000), p5-22.
- EtymologyOnLine (word history)
- Robinson, David Muslim Societies in African History (The Press Syndicate of the University of Cambridge Cambridge, UK 2004) ISBN 0-521-53366-X
Viungo vya nje [hariri]
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
media kuhusu Missionaries pa Wikimedia Commons