Ziwa Logipi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ziwa Logipi ni kati ya maziwa ya Kenya, likiwa kaskazini mwa bonde la Suguta (katika Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki, kaunti ya Turkana).

Ni ziwa la chumvi lenye ukubwa wa km 6 x 3 na kina cha mita 3 hadi 5.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Castanier, S., Bernet-Rollande, M.-C., Maurin, A., and Perthuisot, J.-P. 1993. Effects of microbial activity on the hydrochemistry and sedimentology of Lake Logipi, Kenya. Hydrobiologia, v. 267, p. 99-112.