Ziwa Baringo
0°38′N 36°05′E / 0.633°N 36.083°ECoordinates: 0°38′N 36°05′E / 0.633°N 36.083°E Ziwa Baringo linapatikana katika Bonde la Ufa, kaskazini mwa Kenya, lina eneo la km2 130, na liko mita 970 juu ya usawa wa bahari.
Linalishwa na mito mbalimbali, ikiwemo mto Molo, mto Perkerra na mto Ol Arabel, lakini halina mito inayotoka.
[hariri | hariri chanzo]
- Kisiwa cha Lesukut (kaunti ya Baringo)
- Kisiwa cha Olkokwa (kaunti ya Baringo)
- Kisiwa cha Parmalok (kaunti ya Baringo)
- Kisiwa cha Rongena (kaunti ya Baringo)
- Kisiwa cha Samatian (kaunti ya Baringo)
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Lake Baringo sa Geonames.org (cc-by); post updated 2013-09-06; database download sa 2016-09-13
- ↑ Peel, M C; Finlayson, B L. "Updated world map of the Köppen-Geiger climate classification". Hydrology and Earth System Sciences 11: 1633-1644. . http://www.hydrol-earth-syst-sci.net/11/1633/2007/hess-11-1633-2007.html. Retrieved 30 Enero 2016.
- ↑ NASA Earth Observations Data Set Index. NASA. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-08-06. Iliwekwa mnamo 2019-02-13.
- ↑ NASA Earth Observations: Rainfall (1 month - TRMM). NASA/Tropical Rainfall Monitoring Mission. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-04-13. Iliwekwa mnamo 2019-02-13.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ziwa Baringo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |