Yohane wa Chinon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yohane wa Chinon.

Yohane wa Chinon alikuwa padri kutoka Bretagne ambaye, kwa kumpenda Mungu aliamua kufichama kwa watu akaishi kama mkaapweke kwa kusali tu katika chumba kidogo kilichojengwa mbele ya kanisa la kijiji cha Chinon, karibu na Tours, leo nchini Ufaransa katika karne ya 6.[1].

Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 27 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Gregori wa Tours, Liber in gloria confessorum 23 (= MGH SS rer. Merov., I.2, pp.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.