Yohane Kemble

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi la Mt. John Kemble

John Kemble (St Weonards, 1599 - Hereford 22 Agosti 1679), alikuwa padri Mkatoliki aliyefanya uchungaji kwa siri muda wa miaka 50 huko Uingereza.

Hatimaye alifia imani yake kutokana na dhuluma ya mfalme Charles II.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini. Kwanza alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI mwaka 1929, halafu mtakatifu na Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.