Vulmari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vulmari.

Vulmari (pia: Ulmar, Vilmer, Vulmaire, Vulmar, Vulmarus, Wulmar; Boulogne, leo nchini Ufaransa, karne ya 7 - 689 hivi) alikuwa mchungaji duni na mtu wa ndoa ambaye, baada ya kunyang'anywa mke wake, akawa padri akaenda kuishi upwekeni. Hatimaye alianzisha monasteri mbili, moja kwa wanaume, nyingine kwa wanawake, katika misitu ya nchi yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Baring-Gould, Sabine (1882), The Lives of the Saints, J. Hodges, iliwekwa mnamo 2021-07-13 
  • Butler, Alban (1956), Thurston, Herbert; Attwater, Donald, wahariri, Butler's Lives of the Saints, III July August September, Westminster, Maryland: Christian Classics Inc., ISBN 0870610481, iliwekwa mnamo 2021-07-13 
  • Drake, Maurice; Drake, Wilfred (1916-01-01), Saints and their emblems, Dalcassian Publishing Company, GGKEY:PR7E6H0KXDH, iliwekwa mnamo 2021-07-13 
  • Humanistica Lovaniensia, 11 History Of The Foundation And The Rise Of The Collegium Trilingue Lovaniense 1517-1550: Part The Second : The Development, Leuven University Press, 1953, ku. 387–515 
  • St Vulmar, British Museum, iliwekwa mnamo 2021-07-13 

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.