Uyole
Kata ya Uyole | |
Mahali pa Uyole katika Tanzania | |
Majiranukta: 8°53′24″S 33°25′48″E / 8.89°S 33.43°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Mbeya |
Wilaya | Mbeya Mjini |
Idadi ya wakazi | |
- | 6,229 |
Uyole ni jina la kata ya Mbeya Mjini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,543 [1] walioishi humo. Msimbo wa posta ni 53136.
Uyole iko kando la eneo la manisipaa ya Mbeya penyewe takriban 10 km kutoka kitovu cha mji mahali penye njiapanda ambako barabara kuu ya TANZAM inaachana na barabara ya kuelekea Tukuyu na Malawi.
Kuna soko kubwa ya mazao na kituo cha TAZARA.
Chuo cha Kilimo Uyole (Agricultural Research Institute -ARI- Uyole) kinafundisha wanafunzi ni kitovu cha uchunguzi wa kisayansi wa mimea ya kilimo.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya 2012, Mbeya - Mbeya MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-14.
![]() |
Kata za Jiji la Mbeya - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Foresti • Ghana • Iduda • Iganjo • Iganzo • Igawilo • Ilemi • Ilomba • Isanga • Isyesye • Itagano • Itende • Itezi • Itiji • Iwambi • Iyela • Iyunga • Iziwa • Kalobe • Maanga • Mabatini • Maendeleo • Majengo • Mbalizi Road • Mwakibete • Mwansekwa • Mwansanga • Nonde • Nsalaga • Nsoho • Nzovwe • Ruanda (Mbeya) • Sinde • Sisimba • Tembela • Uyole |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Uyole kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |