Uvinza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Uvinza
Nchi Tanzania
Mkoa Kigoma
Wilaya Kigoma Vijijini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 43,102

Uvinza ni kata ya Wilaya ya Uvinza katika Mkoa wa Kigoma, Magharibi mwa Tanzania. Wilaya hiyo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 ikiwa na makao makuu Lugufu.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 43,102 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 35,231 waishio humo.[2]

Mji wa Uvinza ni maarufu kwa upatikanaji wa chumvi.

Ulijulikana kama Neu Gottorp wakati wa utawala wa Wajerumani walipokuwa wakijenga Reli ya kati toka Kigoma hadi Dar es Salaam, Mwaka 2007 ulichaguliwa kuwa chanzo cha tawi la reli itakayokwenda Bujumbura, Burundi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Uvinza - Mkoa wa Kigoma - Tanzania

Basanza | Buhingu | Herembe | Igalula | Ilagala | Itebula | Kalya | Kandaga | Kazuramimba | Mganza | Mtegowanoti | Mwakizega | Nguruka | Sigunga | Sunuka | Uvinza

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uvinza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.