Uroho
Jump to navigation
Jump to search
Vilema vikuu |
---|
Uroho ni hamu isiyoratibiwa ya kujipatia mali kuliko mtu anavyohitaji, hata kuwakosesha wengine.
Ni chanzo cha maovu mengi katika maisha ya jamii, kama vile unyonyaji, wizi, vita n.k.
Kwa sababu hiyo maadili ya Kanisa Katoliki yanauhesabu kati ya vilema vikuu ambavyo vinasababisha dhambi nyingine.
Tena, kadiri ya mtume Paulo, uroho unachangia dhambi zote.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |