Timu ya Taifa ya Kandanda ya Jibuti
Shirt badge/Association crest | |||
Nickname(s) | Riverains de la Mer Rouge (Shoremen of the Red Sea) | ||
---|---|---|---|
Shirika | Fédération Djiboutienne de Football | ||
Kocha mkuu | Ahmed Abdelmonem | ||
Home stadium | Stade du Ville | ||
msimbo ya FIFA | DJI | ||
cheo ya FIFA | 189 | ||
Highest FIFA ranking | 169 (Desemba 1994) | ||
Lowest FIFA ranking | 201 (Desemba 2004) | ||
Elo ranking | 210 | ||
| |||
First international | |||
![]() ![]() (Ethiopia; 5 Desemba 1947) | |||
Biggest win | |||
![]() ![]() (Djibouti, Djibouti; 26 Februari 1988) | |||
Biggest defeat | |||
![]() ![]() (Zambia; 3 Septemba 2006) |
Timu ya Taifa ya Kandanda ya Jibuti ambayo imepewa jina la utani la the Riverains de la Mer Rouge (Shoremen of the Red Sea), ndiyo timu ya taifa la Jibuti. Iko chini ya Shirikisho la Kandanda la Jibuti, Fédération Djiboutienne de Football. Haikuingia katika mijuano ya akufuzu kwa Kombe la Dunia la 2006.
Hadi ushindi wake wa 1-0 dhidi ya Somalia, Jibuti haikuwahi kushinda mechi yoyote iliyoandaliwa na Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA).
Historia[hariri | hariri chanzo]
Kandanda ilianzishwa nchini Jibuti kabla ya Uhuru kutoka Ukoloni, huku ikichezwa san asana na Majeshi wa Kifaransa. Huku eneo hilo enzi hizo likiitwa French Somaliland, walikuwa wakishiriki katika mijuano ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA kutoka 1930 hadi 1974. Hata hivyo hawakuwahi kufuzu kwa kombe hilo hata mara moja. Baada ya Uhuru mnamo 1977, Jibuti ilishirikishwa katika Kombe la Mataifa Bingwa Barani Afrika lakini matokeo yake yalikuwa duni.
Jibuti haijawahi kucheza katika Kombe la Mataifa Bingwa Barani Afrika, huku timu hiyo ikijitoa katika mashindano hayo mara mbili, mnamo 2004 na 2008..
Ilionekana katika mijuano ya CECAFA mara ya kwanza nchini Kenya mnamo 1994 lakini ikashindwa kuzoa alama baada ya kupoteza mechi zote dhidi ya Kenya, Somalia na Tanzania katika mkondo wa kwanza. Katika mechi zote nane, timu hiyo iliweza kupata alama mbili baada ya kutoka sare mara mbili.
Rekodi ya Kombe la Dunia[hariri | hariri chanzo]
- 1930- Ilifika mechi ya Kufuzu
- 2002- Haikufuzu
Rekodi ya Kombe la Mataifa Bingwa Barani Afrika[hariri | hariri chanzo]
- 2000- Haikufuzu
- 2002- Haikufuzu
- 2004- Ilijiondoa
- 2006- Haikuingia
- Kombela Mataifa Bingwa Barani Afrika la 2008- Ilijiondoa
- Kombela Mataifa Bingwa Barani Afrika la 2010- Haikufuzu
Kombe la CECAFA[hariri | hariri chanzo]
Kombe la CECAFA | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|
Mwaka | Mkondo | Idadi ya Mechi | Ilishinda | Sare | Ilishindwa | MAbao iliyofunga | Mabao iliyofungwa |
1973| to 1992 | Haikuingia | - | - | - | - | - | - |
1994 | Mkondo wa Kwanza | 3 | 0 | 0 | 3 | 2 | 9 |
1999 | Mkondo wa Kwanza | 2 | 0 | 0 | 2 | 2 | 6 |
2000 | Mkondo wa Kwanza | 4 | 0 | 1 | 3 | 2 | 15 |
2001 | Mkondo wa Kwanza | 3 | 0 | 0 | 3 | 3 | 17 |
2005 | Mkondo wa Kwanza | 4 | 0 | 0 | 4 | 2 | 18 |
2006 | Mkondo wa Kwanza | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 | 10 |
2007 | Mkondo wa Kwanza | 3 | 0 | 0 | 3 | 2 | 19 |
2008 | Mkondo wa Kwanza | 4 | 0 | 1 | 3 | 2 | 13 |
2009 | Mkondo wa Kwanza | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 | 13 |
Jumla | - | 29 | 0 | 2 | 27 | 15 | 120 |
Kikosi cha sasa[hariri | hariri chanzo]
- 2008 Indonesia Independence Cup
- 2009 Benin Independent Jeux
Kikosi cha Kwanza cha Jibuti ![]() | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Jibuti | Jina | DOB | Klabu | Makombe | Mabao | |
Kipa | ||||||
1 | Youssouf Abdourahman | 7 Juni 1977 | ![]() |
25 | 0 | |
27 | Waberi Hachi | 16 Aprili 1981 | ![]() |
4 | 0 | |
38 | Ali Egal Yassin | 24 Februari 1986 | ![]() |
2 | 0 | |
Mlinzi | ||||||
2 | Aden Charmakeh | 26 Mei 1984 | ![]() |
16 | 0 | |
4 | Salim Kadar | 13 Novemba 1975 | ![]() |
46 | 0 | |
7 | Mohamed, Daher | 21 Oktoba 1981 | ![]() |
40 | 2 | |
9 | Hassan Nour | 22 Februari 1984 | ![]() |
23 | 4 | |
12 | Daoud Wais | 25 Julai 1988 | ![]() |
7 | 1 | |
Midfilda | ||||||
4 | Mohamed Hassan | 26 Januari 1987 | ![]() |
9 | 0 | |
8 | Moussa Hirir | 1 Machi 1984 | ![]() |
24 | 5 | |
10 | Mohamed Liban | 11 Septemba 1978 | ![]() |
83 | 13 | |
14 | Ahmed Mohamed | 30 Aprili 1983 | ![]() |
10 | 2 | |
16 | Houssein Saad | 22 Septemba 1987 | ![]() |
19 | 2 | |
18 | Moussa Warsama | 1 Novemba 1984 | ![]() |
22 | 2 | |
Straika | ||||||
5 | Miad Charmare | 17 Mei 1983 | ![]() |
29 | 8 | |
19 | Ahmed Daher | 17 Oktoba 1982 | ![]() |
27 | 7 | |
21 | Hussein Yassin | 15 Septemba 1978 | ![]() |
26 | 3 |
Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]
- Kandanda Nchini Jibuti
- Fédération Djiboutienne de Football
- Ligi Kuu ya Jibuti
- Kombe la Jibuti
- Stade du Ville
International Mpira wa miguu | ||
---|---|---|
Asia | ||
Africa | ||
North, Central America and Caribbean | ||
South America | ||
Oceania | ||
Europe | ||
Non-FIFA | ||
Games | ||
See also International women's football. |
![]() |
Makala football about a national team bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
![]() |
Makala Jibuti-related bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |