Simplisi wa Sardinia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Altare yenye masalia yake.
Basilika-kanisa kuu la Olbia lililojengwa kwa heshima yake.

Simplisi wa Sardinia alikuwa padri katika kisiwa cha Sardinia, leo nchini Italia[1].

Pengine anatajwa kama askofu au pia kama mfiadini.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 15 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Luigi Agus, San Simplicio in Olbia e la diocesi di Civita, Rubbettino, Soveria Mannelli 2009.
  • Antonio Murineddu (a cura di), Gallura, Fossataro, Cagliari 1962.
  • Dionigi Panedda, Olbia attraverso i secoli, Fossataro, Cagliari 1959.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.