Simoni wa Kurene

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kituo cha tano cha Njia ya Msalaba, Kanisa kuu la Dubuque, Iowa, Marekani.

Simoni wa Kurene (kwa Kiebrania שמעון, Šimʿon au Šimʿôn) alikuwa Myahudi kutoka Kurene, Libya, aliyelazimishwa na askari kumsaidia Yesu kubeba msalaba hadi Kalivari, inavyoshuhudiwa na Injili Ndugu zote tatu.[1]

Kati ya Wainjili, Marko anamtambulisha kama baba wa Aleksanda na Rufo.

Tendo lake linakumbukwa katika kituo cha tano cha Njia ya Msalaba.[2]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Desemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

https://dacb.org/stories/libya/simon/

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Simoni wa Kurene kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.