Simeoni wa Mantova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Monasteri ya Polirone alipofariki.

Simeoni wa Mantova (Armenia ya Kale, karne ya 10 - Polirone, Mantova, Italia, 26 Julai 1016) alikuwa mmonaki na mkaapweke wa Armenia ya Kale ambaye alihiji patakatifu pengi huko Mashariki ya Kati akahamia Ulaya.

Uzeeni aliishi katika monasteri ya Wabenedikto [1].

Alitangazwa na Papa Benedikto VIII kuwa mwenye heri mwaka 1024[2], halafu Papa Leo IX alimtambua kama mtakatifu mwaka 1049.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Southern, R.W.. The Making of the Middle Ages. Yale University Press, 1953, p. 70.
  • Benedictine Monks of st Augustines Abbey Ramsgate. Book of the Saints. A & C Black Publishers Ltd, 2003, p. 245
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.