Severini wa Paris

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Severini katika kioo cha rangi cha kanisa lake huko Paris.

Severini wa Paris (alifariki Paris, leo nchini Ufaransa, 540 hivi) alikuwa mkaapweke aliyeishi miaka mingi amejifungia katika chumba huko Paris[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu [3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Novemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.