Seattle, Washington
Jump to navigation
Jump to search
Jiji la Seattle | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Jimbo | Washington |
Wilaya | King |
Idadi ya wakazi | |
- | 594,210 |
Tovuti: www.seattle.gov |
Seattle ni mji katika jimbo la Washington (ncha ya magharibi na kaskazini ya Marekani). Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 3.3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 0-158 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Seattle ni bandari ya uziwa. Seattle na Mombasa (Kenya) ni miji-ndugu.
Uchumi[hariri | hariri chanzo]
Mji umejulikana kimataifa hasa kwa sababu hadi 2001 ilikuwa makao makuu ya kampuni ya Boeing inayojenga ndege za abiria na mizigo.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Seattle, Washington kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |