Rinaldo wa Nocera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rinaldo wa Nocera, O.S.B.Cam. (1150 hivi - 9 Februari 1217) alikuwa askofu wa Nocera Umbra, Umbria, Italia) tangu mwaka 1213 hadi kifo cheke.

Mtoto wa familia tajiri, akiwa kijana aliacha mali yake yote akawa mkaapweke hadi alipojiunga na Wabenedikto Wakamaldoli.

Baada ya kuteuliwa kuwa askofu aliendelea kushika sawasawa maisha ya kimonaki akawa rafiki wa Fransisko wa Asizi[1].

Tangu kale huheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Gino Sigismondi, La "legenda Beati Raynaldi". Le sue fonti e il suo valore, Perugia, Deputazione di storia patria per l'Umbria, 1960. Estratto da: «Bollettino della Deputazione di storia patria per l'Umbria», vol. 56 (1960), pp. 1-111.
  • Gino Sigismondi, Rinaldo, vescovo di Nocera Umbra, santo, in Istituto Giovanni XXIII della Pontificia Università Lateranense (a cura di), Bibliotheca Sanctorum, XI. Ragenfreda - Stefano, Roma, Città Nuova Editrice, 1968, pp. 199-204.
  • Gino Sigismondi, Il vescovo monaco. Vita di san Rinaldo, vescovo di Nocera Umbra, in Annali della Facoltà di Lettere e Filosofia. 3, Studi linguistico-letterari, XXXI (1993-94), Perugia, Università degli Studi di Perugia - Facoltà di Lettere e Filosofia, 1996. Presentazione di Francesco Di Pilla. 55 p.
  • Gibelli, Alberto (1895). Monografia dell'antico monastero di S. Croce di Fonte Avellana: i suoi priori ed abbati. Faenza: P. Conti. ku. 142–147.