Rikari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Panapotunzwa masalia yake.

Rikari (kwa Kifaransa: Riquier; Ponthieu, leo nchini Ufaransa, 560 hivi - Crécy, 26 Aprili 645 hivi), baada ya kuongokea Ukristo kwa juhudi za wamonaki kutoka Ireland, alikuwa padri aliyefanya umisionari nchini kwao na huko Uingereza[1]. Hatimaye aliishi kama mkaapweke msituni alipoanzisha monasteri [2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Aprili[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kiitalia) Carlo Massini, Prima raccolta di vite de' santi per ciaschedun giorno dell'anno con la vita di Gesù Cristo e le feste mobili, vol. 4, Roma, 1819.
  • (Kifaransa) Jules Hénocque, Histoire de l'abbaye et de la ville de Saint-Riquier, vol. 1, Amiens, A. Douillet, 1880.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.