Richadi Gwyn

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Richadi katika kanisa kuu la Wrexham.

Richadi Gwyn (Llanidloes, Montgomeryshire[1], 1537 hivi - Wrexham, 15 Oktoba 1584) alikuwa mshairi wa Wales aliyeuawa na serikali ya Uingereza iliyokuwa imekataza Ukatoliki nchini [2][3].

Papa Paulo VI akamtangaza mtakatifu tarehe 25 Oktoba 1970.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Oktoba [4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Edited by Edwin H. Burton & J.H. Pollen, S.J. (1914), Lives of the English Martyrs: Second Series; The Martyrs Declared Venerable. Volume I: 1583-1588. Page 127.
  2. Malcolm Pullan (2008), The Lives and Times of the Forty Martyrs of England and Wales 1535-1680, page 142.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93309
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.