Nenda kwa yaliyomo

Pardulfi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Pardoux katika dirisha la kioo cha rangi huko Bugeat.

Pardulfi (pia: Pardulphus, Pardulf, Pardoux; Sardent, leo nchini Ufaransa, 657 - Gueret, leo nchini Ufaransa, 6 Oktoba 737) alikuwa mkaapweke wa Kanisa Katoliki, halafu abati wa kwanza wa monasteri ambayo aliiongoza hadi kifo chake huko [1].

Maarufu kwa maisha matakatifu, inasemekana alifukuza Waislamu waliotaka kuvamia monasteri yake baada ya kushindwa na Karolo Nyundo, mfalme wa Wafaranki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Oktoba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Jacques Baudoin, Grand livre des saints : culte et iconographie en Occident, Éd. Créer, 2006, notice, numéro 432, p. 384: « Saint Pardoux » ([1]).
  • Fouracre, Paul (2000). The Age of Charles Martel. Pearson Education. ISBN 0-582-06476-7

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.