Masimo wa Aleksandria
Mandhari
Masimo wa Aleksandria (alifariki 22 Aprili 282) alikuwa askofu wa mji huo wa Misri.
Alipokuwa padri alikwenda uhamishoni pamoja na askofu Dionisi wa Aleksandria kwa kutetea imani sahihi, halafu akawa mwandamizi wake kama Patriarki (9 Novemba 264 - 22 Aprili 282) [1].
Anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki, Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Aprili, lakini pia tarehe 9 Aprili[2] na zamani 27 Desemba[3][4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/49060
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2024-04-17. Iliwekwa mnamo 2019-10-11.
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-maximus-of-alexandria-27-december/
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Anba Maximus The Fifteenth Pope of Alexandria. Ilihifadhiwa 26 Septemba 2020 kwenye Wayback Machine.
- Meinardus, Otto F.A. (2002). Two Thousand Years of Coptic Christianity. American University in Cairo Press. ISBN 978-977-424-757-6.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- The Official website of the Coptic Orthodox Pope of Alexandria and Patriarch of All Africa on the Holy See of Saint Mark the Apostle Ilihifadhiwa 9 Machi 2018 kwenye Wayback Machine.
- Coptic Documents in French
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |