Maria Alfonsa Matathupadathu
Mandhari


Maria Alphonsa Muttathupadathu (Kudamalloor, karibu na Kottayam, huko Kerala[1]19 Agosti 1910 - Bharananganam, 28 Julai 1946) alikuwa bikira Mfransisko wa Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar nchini India.
Ili asiolewe kwa shuruti, alijichoma mguu kwa kuuweka motoni. Kisha kupokewa katika shirika ya Waklara wa Kimalabari, alimtolea Mungu maisha yake yote akiwa mgonjwa karibu mfululizo [2].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 8 Februari 1986 akatangazwa mtakatifu na Papa Benedikto XVI tarehe 12 Oktoba 2008.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ""St. Alphonsa – Our Patroness" St. Alphonsa Church, Bangalore". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-02-22. Iliwekwa mnamo 2015-02-06.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/64625
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Official website
- St. Alphonsa Anna Muttathupadam of the Immaculate Conception, F. C. C. Ilihifadhiwa 11 Agosti 2010 kwenye Wayback Machine.
- Pope John Paul II On Blessed Alphonsa of India
- 100 Maxims of the saint Ilihifadhiwa 19 Agosti 2011 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
