Majadiliano ya mtumiaji:Praygod mwanga

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Habari, asante kwa michango. Tafadhali usisahau kuunganisha makala unayoanzisha kwenye Wikipedia:Jamii na pia interwiki.

Hello,

I need help to improve the article Salzburg please. I am learning Kiswahili right now, but I am in a starter level, I can not do it on my own Bro. Could we work together? I know Salzburg very good, but I need help in Kiswahili language. What about if I write some more text into the article and you check and correct my Kiswahili language?

Kind regards,

Alex 84.174.183.93 03:33, 28 Novemba 2020 (UTC)[jibu]

Can you help me correct an article? Thank you![hariri chanzo]

Hello, @Praygod mwanga:! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --BarbaraLuciano13 (majadiliano) 09:11, 19 Juni 2021 (UTC)[jibu]

Nimekusimamisha kwa kutumia google-translate bila kuisaisha[hariri chanzo]

Habari zako, nimepitilia makala ya VVU / UKIMWI nchini Jamaika. Hapa umemwaga matini ya google-translate kwa asilimia zaidi ya 99. Desturi hii imeleta makala ambazo zina lugha mbaya isioeleweka. Ingawa sehemu uliyotafsiri ilikuwa fupi (na hivyo inawezekana kuhisi maana yake nini) ni mfano mbaya. Wewe umefahamishwa hapo juu (sanduku la "Karibu") kwamba ni mwiko kumwaga matini ya google translate. Umepuuza utaratibu huu. Ninakuzuia sasa. Unaombwa kuwasiliana nami (kwenye ukurasa wangu wa majadiliano au kwa kuniandikia email (bofya "Email this user" kwenye ukurasa wangu, utaiona upande wa kushoto) na ueleza lini na jinsi gani utasafisha kurasa zako. Kipala (majadiliano) 08:26, 12 Agosti 2021 (UTC)[jibu]


Praygod mwanga (majadiliano)habari Kipala,mbona mimi sijaandika hiyo makala, nimeeandika moja tu ya bandari ya mtwaraPraygod mwanga (majadiliano)

Samahani, nimeshaondoa zuio. Niliitambua sasa hivi! Nimewachanganya. Kazi njema! Kipala (majadiliano) 08:47, 12 Agosti 2021 (UTC)[jibu]

Matumizi ya google translate[hariri chanzo]

Ndugu nimepitilia Bandari ya Tanga naona unatumia google translate ukijaribu kuisahihisha. Tafadhali uwe makini zaidi! Sentensi kama hii "Kwa sasa, bandari hii inahudumiwa na kampuni tatu shipping lines" haifai. Pia ukipitilia harakahaaka tu unapata sehemu kama "kutoka Uganda kwenda Kenya hadi bandari ya Lamu Kusini mwa Sudan na Ethiopia" ambayo haina maana kwa sababu Lamu si kusini mwa Sudan, ulijaribu kufupisha google translate bila kuisoma vema. Tatizo la google translate ni (hata ukisahihisha) kwamba unafuata muundo wa matini ya Kiingereza ambayo mara nyingi haifai kama sentensi za Kiingereza ni ndefu; tokeo lake si Kiswahili.

Mara kwa mara ni lazima kutuma lugha yako badala ya kwenda neno-kwa-neno na kufuata google. Pia ni lazima kutafakari kabla ya uchukua matini ya enwiki. Makala kuhusu Bandari ya Bagamoyo ni bure; sio wewe unaishi Tanzania? Hujui kwamba habari za makala ya enwiki si kweli? Magufuli alibatilisha mapatano yote baada ya 2018 (tarehe ya makala ile) na sasa kuna tangazo kwamba labda majadiliano yanaanza tena. Ama usahihishe makala au tuifute kabisa maana habari si kweli. Kipala (majadiliano) 10:05, 12 Agosti 2021 (UTC)```[jibu]

```Sawa nitairekebisha```

Taarifa ya kukuzuia!

Ndugu, imenibidi kukuzuia kwa sababu zinazotajwa chini. Wakati unapokuwa umezuiwa huwezi kuhariri isipokuwa penye huu ukurasa wako wa majadiliano. Unaweza kunijibu kwa kutumia “Email this user”.

Sababu ni kuwa umeingiza matini iliyopatikana kwa njia ya tafsiri ya kompyuta ikiwa na kasoro nzito ya lugha. Umearifiwa kwamba ni marufuku kumwaga matokeo ya google translate katika makala zetu. Wachangiaji wanaopuuza utaratibu huu wanasababisha hasara kubwa kwa Wikipedia yetu na kuwapa wengine kazi kubwa mno ya kusafisha makosa yao.

Bila shaka una nia nzuri kuchangia katika Wikipedia. Tutafurahi kushirikiana nawe lakini ni lazima ufuate utaratibu. Kazi yetu kama wakabidhi ni kulinda mradi huu.

Ukiwa tayari kufuata utaratibu pamoja na kupitia upya matini ulizozileta tayari, naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika Wikipedia:Email.

--Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:28, 19 Agosti 2021 (UTC)[jibu]

Nakubali kwa furaha ombi lako la kuondolewa zuio, nikitarajia utaendelea kwa bidii kutunga na kuhariri makala, ila kwa umakinifu zaidi, bila ya kuamini tafsiri za Google: kwa jumla hazieleweki. Afadhali makala fupi nzuri kuliko ndefu zinazochafua Kiswahili na Wikipediua yetu. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:46, 20 Agosti 2021 (UTC)[jibu]

Herufi koze si fomati ya kawaida[hariri chanzo]

Ndugu nilifuta masahihisho yako kwenye makala Nuhu Abdullahi. Uliingiza mara nyingi herufi koze bila kujali mwongozo wetu wa staili. Angalia Wikipedia:Mwongozo_(Muundo). Kipala (majadiliano) 14:53, 18 Septemba 2021 (UTC)[jibu]