Felix Mendelssohn

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Felix Mendelssohn.

Jakob Ludwig Felix Mendelssohn Bartholdy, anafahamika zaidi kama Felix Mendelssohn (3 Februari 18094 Novemba 1847) alikuwa mtunzi wa Opera, mpigaji kinanda na mwelekezi maarufu kutoka nchini Ujerumani. Huyu nae alikuwa mmoja kati ya watunzi mashuhuri wa kipindi cha Romantic.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber


Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Felix Mendelssohn kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.