Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fiu-vro:Hispaania kiil |
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: pa:ਸਪੈਨਿਸ਼ ਭਾਸ਼ਾ |
||
Mstari 174: | Mstari 174: | ||
[[oc:Espanhòu]] |
[[oc:Espanhòu]] |
||
[[os:Испайнаг æвзаг]] |
[[os:Испайнаг æвзаг]] |
||
[[pa:ਸਪੈਨਿਸ਼ ਭਾਸ਼ਾ]] |
|||
[[pam:Castila (amanu)]] |
[[pam:Castila (amanu)]] |
||
[[pap:Spaño]] |
[[pap:Spaño]] |
Pitio la 08:19, 30 Januari 2012
Kihispania ("Español") ni lugha ya kimatifa ambacho ni lugha ya kwanza kwa milioni 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama lugha ya pili kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.
Asili ya lugha ni katika nchi ya Hispania (Ulaya) lakini kutokana na historia ya ukoloni na biashara lugha imesambaa sana hasa Amerika ya Kusini.
Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi
Amerika ya Kati na Karibi
- Costa Rica
- Cuba
- Jamhuri ya Dominika
- Guatemala
- Honduras
- Mexico
- Nicaragua
- Panama
- Puerto Rico
- and El Salvador
Amerika ya Kusini
Afrika
Nchi penye wasemaji wengi wa Kihispania
- Nchini Marekani Kihispania ni lugha ya pili baada ya Kiingereza hasa katika majimbo ya Kusini zilizikuwa zamani sehemu za Mexiko.
- Ufilipino kwa sababu ilikuwa koloni ya Hispania
Historia ya lugha
Asili ya Kihispania ni lugha ya Kilatini ya Waroma wa Kale. Kati ya lugha za Kirumi Kishispania ni lugha ya kisasa ambayo ni karibu zaidi na lugha ya kale.