Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: bar:3. Briaf vo Johannes
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ro:A treia epistolă catolică a lui Ioan
Mstari 51: Mstari 51:
[[pt:Terceira Epístola de João]]
[[pt:Terceira Epístola de João]]
[[qu:Huwanpa kimsa ñiqin qillqasqan]]
[[qu:Huwanpa kimsa ñiqin qillqasqan]]
[[ro:A treia epistolă catolică a lui Ioan]]
[[ru:3-е послание Иоанна]]
[[ru:3-е послание Иоанна]]
[[rw:Urwandiko rwa III rwa Yohana]]
[[rw:Urwandiko rwa III rwa Yohana]]

Pitio la 14:49, 6 Agosti 2011

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mwandishi

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili