Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: zh:約翰三書; cosmetic changes |
d roboti Nyongeza: hy:Հովհաննես առաքյալի երրորդ թուղթ |
||
Mstari 33: | Mstari 33: | ||
[[he:איגרת יוחנן השלישית]] |
[[he:איגרת יוחנן השלישית]] |
||
[[hr:Treća Ivanova poslanica]] |
[[hr:Treća Ivanova poslanica]] |
||
[[hy:Հովհաննես առաքյալի երրորդ թուղթ]] |
|||
[[id:Surat Yohanes yang Ketiga]] |
[[id:Surat Yohanes yang Ketiga]] |
||
[[it:Terza lettera di Giovanni]] |
[[it:Terza lettera di Giovanni]] |
Pitio la 16:37, 27 Septemba 2010
Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili