Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: simple:Third Epistle of John |
d roboti Nyongeza: ko:요한의 셋째 서간 |
||
Mstari 37: | Mstari 37: | ||
[[ja:ヨハネの手紙三]] |
[[ja:ヨハネの手紙三]] |
||
[[jv:III Yohanes]] |
[[jv:III Yohanes]] |
||
[[ko:요한의 셋째 서간]] |
|||
[[la:Epistula III Ioannis]] |
[[la:Epistula III Ioannis]] |
||
[[lt:Trečiasis Jono laiškas]] |
[[lt:Trečiasis Jono laiškas]] |
Pitio la 01:49, 18 Desemba 2009
Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili