Bernardo wa Menthon : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
Tangu kale aliheshimiwa kama [[mtakatifu]]; hatimaye [[mwaka]] [[1681]] [[Papa Inosenti XI]] alithibitisha sifa hiyo. |
Tangu kale aliheshimiwa kama [[mtakatifu]]; hatimaye [[mwaka]] [[1681]] [[Papa Inosenti XI]] alithibitisha sifa hiyo. |
||
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[15 Juni]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. |
|||
==Tazama pia== |
==Tazama pia== |
Pitio la 07:56, 14 Juni 2021
Bernardo wa Menthon, C.R.S.A. (au Bernardo wa Montjoux; Aosta, Italia, 1020 - Novara, Italia, 12 Juni 1081) alikuwa padri Mwaugustino mwanzilishi wa shirika la kitawa[1] ambalo lipo hadi leo likiwa na wanachama 40 wenye nadhiri.
Tangu kale aliheshimiwa kama mtakatifu; hatimaye mwaka 1681 Papa Inosenti XI alithibitisha sifa hiyo.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[2].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Tovuti rasmi
- Adrian Fletcher’s Paradoxplace Gran San Bernardo Pass Photos Archived 27 Aprili 2009 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |