Bernardo wa Menthon
Mt. Bernardo katika bendera ya kikundi fulani.
Bernardo wa Menthon, C.R.S.A. (au Bernardo wa Montjoux; Aosta, Italia, 1020 - Novara, Italia, 12 Juni 1081) alikuwa padri Mwaugustino mwanzilishi wa shirika la kitawa[1] ambalo lipo hadi leo likiwa na wanachama 40 wenye nadhiri.
Tangu kale aliheshimiwa kama mtakatifu; hatimaye mwaka 1681 Papa Inosenti XI alithibitisha sifa hiyo.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Tovuti rasmi
- Adrian Fletcher’s Paradoxplace Gran San Bernardo Pass Photos Archived 27 Aprili 2009 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |