Bernardo wa Menthon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bernardo katika bendera ya kikundi fulani.

Bernardo wa Menthon, C.R.S.A. (au Bernardo wa Montjoux; Aosta, Italia, 1020 - Novara, Italia, 12 Juni 1081) alikuwa padri Mwaugustino mwanzilishi wa shirika la kitawa[1] ambalo lipo hadi leo likiwa na wanachama 40 wenye nadhiri.

Tangu kale aliheshimiwa kama mtakatifu; hatimaye mwaka 1681 Papa Inosenti XI alithibitisha sifa hiyo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.