Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
'''Nabii Yoeli''' (kwa [[Kiebrania]] '''יואל''', ''Yoel'', maana yake [[YHWH]] ni [[Mungu]]) alikuwa [[nabii]] wa [[Israeli ya Kale]], labda katikati ya [[karne ya 4 KK]]. |
'''Nabii Yoeli''' (kwa [[Kiebrania]] '''יואל''', ''Yoel'', maana yake [[YHWH]] ni [[Mungu]]) alikuwa [[nabii]] wa [[Israeli ya Kale]], labda katikati ya [[karne ya 4 KK]]. |
||
[[Ujumbe]] wake unapatikana katika [[gombo]] la [[Manabii Wadogo]] la [[Biblia]], kwa jina la [[Kitabu cha Yoeli]]. |
[[Ujumbe]] wake unapatikana katika [[gombo]] la [[Manabii Wadogo]] la [[Biblia]], kwa [[jina]] la [[Kitabu cha Yoeli]]. |
||
Anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huwa tarehe [[19 Oktoba]]. |
Anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huwa [[tarehe]] [[19 Oktoba]]<ref>https://catholicsaints.info/joel-the-prophet/</ref> lakini pia tarehe [[13 Julai]]. |
||
==Tazama pia== |
==Tazama pia== |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
==Tanbihi== |
|||
{{reflist}} |
|||
== Viungo vya nje == |
== Viungo vya nje == |
Pitio la 07:03, 4 Februari 2020
Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.
Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia, kwa jina la Kitabu cha Yoeli.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba[1] lakini pia tarehe 13 Julai.
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Viungo vya nje
- Four Prophets at Chabad.org
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nabii Yoeli kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |