Kasoko ya dharuba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Kutokea kwa Kasoko.png|thumb|250px|Kutokea kwa kasoko ya dharuba]]
{| class="infobox" style="width: 295px;"
|-
|
{| cellpadding=0 cellspacing=2 style="background-color: white;"
|-
| rowspan=2 | [[File:Iapetus as seen by the Cassini probe - 20071008.jpg|157px|Kasoko ya ''Engelier'' huko Iapetus (mwezi wa [[Zohali]])]] || [[File:Fresh impact crater HiRise 2013.jpg|143px|Kasoko mpya kwenye [[Mirihi]] ionyeshayo mistari ambako mata ilitupwa wakati wa dharuba]]
|-
| rowspan=2 | [[File:Tycho crater on the Moon.jpg|143px|Kasoko ya Tycho kwenye Mwezi]]
|-
| [[File:Barringer Crater aerial photo by USGS.jpg|157px|Kasoko ya Barringer ("Meteor Crater") huko Flagstaff, Arizona, Marekani]]
|}
|-
|'''Kasoko za dharuba katika Mfumo wa Jua'''
* Juu-kushoto: Kasoko ya ''Engelier'' huko Iapetus (mwezi wa [[Zohali]] ina kipenyo cha [[km]] 500
* Juu-kulia: asoko mpya kwenye [[Mirihi]] ionyeshayo mistari ambako mata ilitupwa wakati wa dharuba<ref>[https://arstechnica.com/science/2014/02/spectacular-new-martian-impact-crater-spotted-from-orbit/ Spectacular new Martian impact crater spotted from orbit], [[Ars Technica]], 6 February 2014.</ref>
* Chini-kushoto: Kasoko ya Barringer ("Meteor Crater") huko Flagstaff, Arizona, Marekani ina umri wa miaka 50,000
* Chini-kulia: Kasoko ya Tycho kwenye Mwezi
|}
[[Picha:Impact movie.ogv|250px|thumb|Kutokea kwa kasoko kutokana na dharuba (filamu ya maabara ya NASA)]]
[[Picha:Impact movie.ogv|250px|thumb|Kutokea kwa kasoko kutokana na dharuba (filamu ya maabara ya NASA)]]
'''Kasoko ya dharuba''' (kwa [[Kiingereza]] ''impact crater'') ni [[tundu]] kwenye [[ardhi]] linalotokana na mshtuko wa kugongwa na [[gimba]]. [[Kasoko]] ina [[umbo]] la [[duara]]; katikati ni kama [[shimo]] na ukingo wake unainuka juu ya uwiano wa [[mazingira]] yake. [[Duniani]] kasoko zinapatikana mara nyingi kutokana na [[Mlipuko wa volkeno|milipuko]] ya [[volkeno]] au milipuko mingine.
'''Kasoko ya dharuba''' (kwa [[Kiingereza]] ''impact crater'') ni [[tundu]] kwenye [[ardhi]] linalotokana na mshtuko wa kugongwa na [[gimba]]. [[Kasoko]] ina [[umbo]] la [[duara]]; katikati ni kama [[shimo]] na ukingo wake unainuka juu ya uwiano wa [[mazingira]] yake. [[Duniani]] kasoko zinapatikana mara nyingi kutokana na [[Mlipuko wa volkeno|milipuko]] ya [[volkeno]] au milipuko mingine.

Pitio la 19:05, 24 Aprili 2019

Kutokea kwa kasoko ya dharuba
Kutokea kwa kasoko kutokana na dharuba (filamu ya maabara ya NASA)

Kasoko ya dharuba (kwa Kiingereza impact crater) ni tundu kwenye ardhi linalotokana na mshtuko wa kugongwa na gimba. Kasoko ina umbo la duara; katikati ni kama shimo na ukingo wake unainuka juu ya uwiano wa mazingira yake. Duniani kasoko zinapatikana mara nyingi kutokana na milipuko ya volkeno au milipuko mingine.

Katika magimba ya angani yenye uso thabiti kuna kasoko nyingi kama matokeo ya kugongwa na magimba kutoka anga la nje. Kwa mfano, kwenye Mwezi wa Dunia kuna kasoko nyingi zilizosababishwa na migongano ya asteroidi au vimondo. Pigo la kitu kigumu linarusha mata iliyopo mahali pa mgongano ikipangwa pembeni kwa tundu hili kwa umbo la ukingo wa mviringo.

Duniani kasoko nyingi kutokana na mishtuko ya aina hii zinasawazishwa baada ya muda fulani kutokana na mmomonyoko wa mvua na upepo; kwenye magimba pasipo angahewa kama Mwezini zinabaki kwa miaka milioni kadhaa.

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.