Lugha za Kinilo-Sahara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uenezi wa lugha za Kinilo-Sahara (rangi ya njano).

Lugha za Kinilo-Sahara ni familia ya lugha za barani Afrika ambayo ni kati ya zile muhimu zaidi duniani. Hata hivyo, si wataalamu wote wanakubali familia hiyo.

Katika familia hiyo kuna lugha takriban 200 zenye jumla ya wasemaji milioni 50-60 katika nchi 17, zikiwemo Algeria, Libya, Misri, Chad, Mali, Niger, Benin, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Afrika Mashariki, k.m. Kijaluo na Kimaasai.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kinilo-Sahara kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.