Lango:Afrika/Wasifu uliochaguliwa
Jump to navigation
Jump to search
Wasifu Uliochaguliwa[hariri chanzo]
- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Februari 2012[hariri chanzo]
Haile Selassie (23 Julai, 1892 – 27 Agosti, 1975) alikuwa Kaisari au Negus Negeste wa Ethiopia. Alizaliwa katika kijiji kiitwacho Ejersa. Kabla ya kuwa mfalme aliitwa Ras Tafari Makonnen. Jina lake la kifalme lina maana ya "Utukufu wa Utatu (Mtakatifu)". Pia anafahamika kwa jina la Simba wa Yuda, Mfalme wa wafalme (H.I.M).Baba yake alikuwa mkabaila Mwethiopia aliyeitwa Ras Makonnen akawa gavana wa Harar, familia yake ina watoto 11. Alikuwa Mkristo muumini wa madhehebu ya Orthodoksi ya Ethiopia.