Lango:Afrika/Wasifu uliochaguliwa
Mandhari
Wasifu Uliochaguliwa
[hariri chanzo]- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Januari 2012
[hariri chanzo]Dennis Oliech (amezaliwa tar. 2 Februari, 1985 mjini Nairobi, Kenya) ni mchezaji wa mpira wa miguu wakulipwa kutoka nchi ya Kenya, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya AJ Auxerre katika Ligi ya kwanza ya Ufaransa. Ligi hiyo hujulikana zaidi kwa jina la Ligue 1. AJ Auxerre ni klabu mashuhuri Ufaransa na ulimwenguni kwa wafatilia soka duniani.