Lango:Afrika/Wasifu uliochaguliwa
Wasifu Uliochaguliwa[hariri chanzo]
- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Aprili 2012[hariri chanzo]
Robert Gabriel Mugabe (* 21 Februari 1924) amekuwa kiongozi wa Zimbabwe tangu 1980. Yeye ni mwenyekiti wa chama tawala cha ZANU. 1980 alikuwa waziri mkuu na 1987 Rais wa Zimbabwe. Kabla ya wakati ule aliongoza upinzani wa ZANU dhidi ya serikali ya walowezi Waingereza nchini waliofuata siasa ya ubaguzi wa rangi. Mugabe alirudiwa katika uchaguzi mbalimbali. Tangu mwaka 2000 uchaguzi hizi zimekuwa mashakani kutokana na matishio na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani. Utawala wa Mugabe umeitwa wa kidikteta tangu mwaka 2002. Kutokana na mashataka dhidi ya serikali ya Mugabe ya kudharau haki za binadamu nchi Zimbabwe ilisimamishwa ndani ya Jumuiya ya Madola.