Kostanso wa Perugia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kostanso na watakatifu wengine walivyochorwa na Perugino, 1497.

Kostanso wa Perugia (alifariki Foligno, Umbria, Italia, karne ya 3 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo akajitahidi kuinjilisha na kusaidia maskini.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • The Book of Saints: A dictionary of persons canonized or beatified by the Catholic Church. Benedictine Monks of St. Augustine Abbey, Ramsgate. NY: Thomas Y. Crowell, 1966.
  • "A Reconstruction of Taddeo di Bartolo's Altarpiece for San Francesco al Prato, Perugia," by Gail E. Solberg. The Burlington Magazine, Vol. 134, No. 1075 (October 1992)p. 646–656.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.