Kostanso wa Perugia
Mandhari
Kostanso wa Perugia (alifariki Foligno, Umbria, Italia, karne ya 3 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo akajitahidi kuinjilisha na kusaidia maskini.
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- The Book of Saints: A dictionary of persons canonized or beatified by the Catholic Church. Benedictine Monks of St. Augustine Abbey, Ramsgate. NY: Thomas Y. Crowell, 1966.
- "A Reconstruction of Taddeo di Bartolo's Altarpiece for San Francesco al Prato, Perugia," by Gail E. Solberg. The Burlington Magazine, Vol. 134, No. 1075 (October 1992)p. 646–656.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Constantius at Patron Saints Index
- 29 January saints at Saint Patrick's Church Ilihifadhiwa 21 Desemba 2016 kwenye Wayback Machine.
- Umbria Best Gastronomy
- San Costanzo di Perugia
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |