Klara wa Montefalco
Mandhari

Klara wa Montefalco (pia: Klara wa Msalaba; Montefalco, Perugia, Umbria, 1268 - Montefalco, 17 Agosti 1308) alikuwa mmonaki wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko, halafu abesi wa shirika la Waaugustino[1].
Bikira huyo alimpenda motomoto Kristo katika mateso yake kiasi kwamba alipofariki dunia moyo wake ulionekana kuwa na alama zake: msalaba, mjeledi, mnara, taji la miba, misumari mitatu, mkuki na utete wenye sifongo [2][3].
Papa Leo XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 8 Desemba 1881.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑
Donovan, Stephen M. (1908). . Catholic Encyclopedia. Juz. la 4. New York: Robert Appleton Company. - ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/66350
- ↑ https://lanuovabq.it/it/santa-chiara-della-croce-una-vita-unita-a-gesu
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Clare of Montefalco at Order of Saint Augustine
- Life of Clare of Montefalco (Augustinians of the Midwest) Ilihifadhiwa 4 Februari 2012 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
