Katerina Volpicelli
Mandhari

Katerina Volpicelli (aliishi Napoli nchini Italia 21 Januari 1839 - 28 Desemba 1894) alikuwa mwanamke tajiri wa mji huo ambaye maisha yake yote alihudumia maskini na wagonjwa. Kwa ajili hiyohiyo alianzisha shirika la masista "Wajakazi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu", ambamo alijitahidi daima ujitokeze upendo wa Kikristo katika mipango inayolingana na mahitaji ya jamii ya kisasa [1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 29 Aprili 2001, halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu bikira tarehe 29 Aprili 2009[2].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Desemba kila mwaka[3][4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/90246
- ↑ Holy mass for the canonization of five new saints
- ↑ "Caterina Volpicelli (1839-1894)". www.vatican.va. Iliwekwa mnamo 2018-07-10.
- ↑ "Santa Caterina Volpicelli su santiebeati.it". Santiebeati.it. Iliwekwa mnamo 2018-07-10.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |