Kamili wa Lellis
Mandhari
(Elekezwa kutoka Kamilo wa Lellis)

Kamili wa Lellis (Bucchianico, wilaya ya Chieti, mkoa wa Abruzzo, leo nchini Italia, 25 Mei 1550 - Roma, 14 Julai 1614) alikuwa padri na mwanzilishi wa shirika la kitawa maalumu kwa ajili ya huduma za wagonjwa: Watumishi wa Wagonjwa, kwa kifupi M.I.
Kabla ya hapo alijiunga na jeshi bado kijana sana akaonekana kupenda anasa hadi alipoongoka na kujitosa kuhudumia waliolazwa katika hospitali ya wasiotibika kama kwamba ni Yesu mwenyewe[1].
Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri mwaka 1742, halafu mtakatifu mwaka 1746.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 230-232
- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 243-244
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 205-206
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Camillus
- From Dom Alban Butler's Lives of the Saints( Ilihifadhiwa 5 Machi 2016 kwenye Wayback Machine.)
- Profile by Archbishop Alban Goodier Ilihifadhiwa 9 Julai 2019 kwenye Wayback Machine.
- Website of the Camillians in the U.S.A. Ilihifadhiwa 25 Julai 2011 kwenye Wayback Machine.
- Website of the international Camillian Order
- Servants of St. Camillus Disaster Relief Services (SOS DRS) Ilihifadhiwa 29 Septemba 2017 kwenye Wayback Machine.
- Founder Statue in St Peter's Basilica
- Catholic Encyclopedia: St. Camillus de Lellis
- Message of Pope Yohane Paulo II on the 450th anniversary of the birth of St. Camillus
- St. Camillo page Ilihifadhiwa 27 Septemba 2012 kwenye Wayback Machine. at Christian Iconography
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |