Kalojero wa Sisilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Kalojero huko Agrigento.

Kalojero (kwa Kigiriki "mzee mzuri", yaani mkaapweke; Kalsedonia, leo nchini Uturuki, au Karthago, leo nchini Tunisia[1], 466 hivi - Monte Kronio, karibu na Sciacca, usiku kati ya tarehe 17 na 18 Juni 561) alikuwa mmonaki aliyejisikia wito wa kuinjilisha kisiwa cha Sicilia.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/58100
  2. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.