Kalojero wa Sisilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Kalojero huko Agrigento.

Kalojero (kwa Kigiriki "mzee mzuri", yaani mkaapweke), alikuwa mmonaki kutoka Kalsedonia, leo nchini Uturuki, alipozaliwa na Wakristo mwaka 466 hivi.

Alijisikia wito wa kuinjilisha kisiwa cha Sicilia.

Alifariki Monte Kronio, karibu na Sciacca, usiku kati ya tarehe 17 na 18 Juni 561.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Juni[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.