Agrigento

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa mji wa Agrigento.

Agrigento ni mji wa mkoa wa Sicilia, Italia visiwani wenye wakazi 58,956 (2018).

Mahekalu ya Kigiriki yaliyoko bondeni yameorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Agrigento kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.