Sesari wa Terracina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Juliani na Sesari)
Padri Juliani na shemasi Sesari wakihubiri.
Shemasi Sesari.

Sesari wa Terracina alikuwa shemasi wa Karthago, leo nchini Tunisia (Afrika Kaskazini) katika karne ya 2.

Aliposafiri kwenda Italia, alishuhudia na kupinga ibada ya kuchinja kijana kama kafara kwa mungu Apolo. Kwa ajili hiyo alifungwa miaka miwili na hatimaye akauawa huko Terracina kwa kutoswa baharini ndani ya gunia.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, pengine pamoja na padri Juliani[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[2][3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.