Gunia
Mandhari

Gunia (kutoka neno la Kihindi) ni mfuko mkubwa unaotengenezwa kwa nyuzi za katani au kwa kitambaa unaotumiwa kutilia vitu kama vile mahindi, mchele, sukari na vitunguu.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |