Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Mvita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Mvita)
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Mvita ni Jimbo la Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili ni mojawapo ya Majimbo manne katika Kaunti ya Mombasa. Eneo lote la Jimbo hili iko chini ya Baraza la munisipali ya Mombasa.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988 huku mbunge wake wa kwanza akiwa Shariff Nassir.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Shariff NassirKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Shariff NassirKANU
1997Shariff NassirKANU
2002Najib BalalaNARC
2007Najib BalalaODM

Kata na Wodi

[hariri | hariri chanzo]
Kata
Kata Idadi ya Watu*
Majengo40,241
Railway9,527
Tononoka29,044
Jumlax
*Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura
Waliojiandikisha
Bondeni9,352
King'orani7,471
Majengo18,272
Mwembe Tayari11,576
Shimanzi10,134
Tononoka9,049
Jumla65,854
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]