Eneo bunge la Kitui Mashariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Mutito)
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Kitui Mashariki (awali: Jimbo la Uchaguzi la Mutito) ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili ambalo ni miongoni mwa majimbo manne katika Wilaya ya Kitui, lina wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Kitui County.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo la Mutito lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1988, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Ezekiel Mwikya Mweu.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Ezekiel Mwikya Mweu KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Ndambuki M. Mutinda KANU
1997 Jimmy Muthusi Kitonga SDP
2002 Kiema Kilonzo Ford-People
2007 Kiema Kilonzo ODM-Kenya

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili
Kyanika / Maluma 6,521
Malalani / Endau 4,509
Mutitu / Kaliku 6,813
Mwitika / Kyamatu 5,839
Sombe 3,789
Thua / Nzangathi / Ithumula 6,602
Voo 3,721
Jumla 37,794
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]